Jamani kwa anaejua labda, kama kuna Third Batch ya mikopo kutoka HESLB maana naona hakuna taarifa yoyote.
Kama unajua lolote naomba tujuzane inatoka lini?
Yaani hawa loan boad hawako sereous na ratiba zao sio kama tcu, wanakutajia tarehe ukifika muda waliosema unakuta hakuna walichofanya. walisema before tar 25 watatoa lakini mpaka saivi hakuna kitu.
dah pole sana ndugu yangu, hata mimi nimesoma shule za kata kuanzia form one hadi six na nilidahiliwa chuoni round ya kwanza, na kwa waliokosea maombi ya mkopo simo, lakini first batch nimekosa. tuwe na subira tu ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.