Recent content by de'levis

  1. de'levis

    Dark days 17/03/20

    Unadhan alijua kitu..
  2. de'levis

    Mstaafu ambaye alishastaafu lakini hataki kustaafu 'anastaafishwa'

    Died a natural death!!?..did mchonga die a natural death?? did lupaso die a natural death?!..man up buddy!! For him it was a decision from Gaberon which led to his demise!..he was too busy building the country than the Nation.. On his way to the burrial of Mr Lupaso he cried all the way hadi...
  3. de'levis

    Dark days 17/03/20

    The state waliamua toka gaberon room no 26...na ilikuwa Ni lazima iwe hivyo..sababu kubwa iluyopelekea maamuz hayo Ni kwamba badala ya ""kujenga taifa yeye alikazana kujenga nchi...""
  4. de'levis

    Steve Nyerere ndiye Musiba mpya?

    haitokei kwa bahati mbaya..hata juzi,gazeti la uhuru halikukosea wala haiikuwa bahati mbaya...na kwa kuwa bi mkubwa hajui 'beacon za nchi zilipo'..kuna mitambo flan inatestiwa...
  5. de'levis

    Steve Nyerere ndiye Musiba mpya?

    pale ndani kuna kitengo kinachohusika na propaganda and spinning...hizi ndizo kaz zao..kuanzia kwa huko nyuma kwa 'mlevi wa taifa 'nk.. lkn bi mkubwa amekumbushwa juz kujikita kwenye mambo 35 aliyoelekezwa kuyafanyia kazi toka chumba namba 26..next week kuna mambo flan yatatokea..
  6. de'levis

    Dkt. Bashiru akiwa Bungeni

    Huyu mshenzi ana bahati..awali ilikuwa afutwe tu ..mama akaona isiwe tabu acha nimteue mbunge..ila yeye na mwenzake wakae kitako...
  7. de'levis

    Kama haya tunayoyasikia yana ukweli, basi nampa hongera sana Mama, ila nina wasiwasi atalazimika kufanya reshuffle wakati wowote

    Tumeshasema..huwez kupanga uhaini ukabaki salama wewe na genge lako..mipango yao ya tar 13 na 14 march itawagarim..huwez kukwapua pesa bil 229 ukabaki salama wewe na genge lako..mkuu wa nchi hawez kupoteza maisha mikononi mwako na umekula kiapo cha kumlinda na uzembe ukatokea halafu ubaki...
  8. de'levis

    Rais Samia: Tukutane Jumanne baada ya Pasaka kwa uapisho mwingine, hapa hapa Ikulu

    Huwez kuwa sehem ya kupanga uhaini kisha ukabaki salama...huwez kupanga na kuleta taarifa za uongo kwa siki mbili mfululizo (12 na 13 march) tukakuacha salama huku ukijua matokeo yake ni maangamizo kwa taifa..huwez kushinikiza makamu ajiuzulu ili wewe na genge lako mtawale halafu tukakuacha...
  9. de'levis

    UTEUZI: Rais Samia Suluhu amteua Balozi Hussein A. Kattanga kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Ali ateuliwa kuwa Mbunge

    Kwa ujinga aliofanya tar 12 na 13 yeye na mwenzake..kuteuliwa kuwa mbunge ameheshimiwa sawa ...mwenzake hatamaliza kipindi kilichobaki..washenzi, sana hawa...
  10. de'levis

    Dkt. Bashiru piga moyo konde na usonge mbele

    Kwa upuuz waliofanya tar 13 yeye na mwenzake kwanza amemhurumia sana..bado mmoja ni ndan ya mwaka huu tunamalizana nae
  11. de'levis

    Kumbukizi ya Mama Samia Suluhu: Mawaziri wanaojibu ovyo huko ndani, ni mimi na wao. Watanijua mimi ni nani

    Clip hoy9 ni yaiaka miwili hivi iliyopita alipokiwa akitoa historia yake kwenyw moja ya vikao na kina mama....mh samia alipomaliza shule hakufaulu ..alifanya vibaya..ila wakat ule ukihitim kodato cha mne unapangiwa wapi uende..akapangiwa kwenda kuwa mkutubi(sikumbuki vizur hapa) ila alipofika...
  12. de'levis

    Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

    Kuna mtu tunahitaji kumfundisha adabu kabla ya April 26...ujinga aliofanya tar 13 usiku kuamkia 14 hauvumiliki..
  13. de'levis

    Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?

    Siku ingine tutayaongea haya kwa uzur ngoja tusafir kuja nchini kuzika..
  14. de'levis

    Kuweni makini na huyu mtu

    Usifananishe na kasha la yai
Back
Top Bottom