Died a natural death!!?..did mchonga die a natural death?? did lupaso die a natural death?!..man up buddy!!
For him it was a decision from Gaberon which led to his demise!..he was too busy building the country than the Nation..
On his way to the burrial of Mr Lupaso he cried all the way hadi...
The state waliamua toka gaberon room no 26...na ilikuwa Ni lazima iwe hivyo..sababu kubwa iluyopelekea maamuz hayo Ni kwamba badala ya ""kujenga taifa yeye alikazana kujenga nchi...""
haitokei kwa bahati mbaya..hata juzi,gazeti la uhuru halikukosea wala haiikuwa bahati mbaya...na kwa kuwa bi mkubwa hajui 'beacon za nchi zilipo'..kuna mitambo flan inatestiwa...
pale ndani kuna kitengo kinachohusika na propaganda and spinning...hizi ndizo kaz zao..kuanzia kwa huko nyuma kwa 'mlevi wa taifa 'nk..
lkn bi mkubwa amekumbushwa juz kujikita kwenye mambo 35 aliyoelekezwa kuyafanyia kazi toka chumba namba 26..next week kuna mambo flan yatatokea..
Tumeshasema..huwez kupanga uhaini ukabaki salama wewe na genge lako..mipango yao ya tar 13 na 14 march itawagarim..huwez kukwapua pesa bil 229 ukabaki salama wewe na genge lako..mkuu wa nchi hawez kupoteza maisha mikononi mwako na umekula kiapo cha kumlinda na uzembe ukatokea halafu ubaki...
Huwez kuwa sehem ya kupanga uhaini kisha ukabaki salama...huwez kupanga na kuleta taarifa za uongo kwa siki mbili mfululizo (12 na 13 march) tukakuacha salama huku ukijua matokeo yake ni maangamizo kwa taifa..huwez kushinikiza makamu ajiuzulu ili wewe na genge lako mtawale halafu tukakuacha...
Kwa ujinga aliofanya tar 12 na 13 yeye na mwenzake..kuteuliwa kuwa mbunge ameheshimiwa sawa ...mwenzake hatamaliza kipindi kilichobaki..washenzi, sana hawa...
Clip hoy9 ni yaiaka miwili hivi iliyopita alipokiwa akitoa historia yake kwenyw moja ya vikao na kina mama....mh samia alipomaliza shule hakufaulu ..alifanya vibaya..ila wakat ule ukihitim kodato cha mne unapangiwa wapi uende..akapangiwa kwenda kuwa mkutubi(sikumbuki vizur hapa) ila alipofika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.