Recent content by DEKIO

  1. DEKIO

    Siipi Simba nafasi ya kuitoa Red Arrows

    Kumbe mkiazia nyumbani mnakua hamna Safari eeeh????.
  2. DEKIO

    Diwani wa Wilaya ya Kisarawe Pwani alalamika uhaba wa kondomu

    Kuleta ni suala moja kutumia ni suala jingine kabisa.
  3. DEKIO

    Sijawahi kuona timu inafanyiwa maombi ili ifuzu World Cup

    Hawezi leta mana amekaririshwa.
  4. DEKIO

    Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

    Mmepigwa Mbumbu SC kwa nini hamtaki kukubaliana na ukweli MAKOLO!!!!!?
  5. DEKIO

    Wakongo (Congo DR) wametudharau sana Wabongo (Tanzania) Jana haki ya nani

    Manula kweli shati, kafungwa magoli ya hovyo kabisa.
  6. DEKIO

    Mambo gani yanayokukera huku Uswahilini kwetu na hasa kwenye nyumba za kupanga?

    Ukibeba Chpsi vtoto vyao vinakodoa mimacho kama mijusi iliyobanwa na mlango wa Gereza.
  7. DEKIO

    Rais Samia kushusha zaidi bei ya mafuta mwishoni mwa Desemba 2021

    Team Mwendazake njooni mjionee mambo bulbul ya mama huku.
  8. DEKIO

    Uongozi wa simba kama mpo humu itoleeni ufafanuzi swala la jezi

    Yanga ni ya watanzania wote ndugu.
  9. DEKIO

    Molinga Kaadhibiwa, Bangala Kaachwa. TFF iache kuiogopa Yanga SC.

    Makorokocho FC unyonge hausaidii
  10. DEKIO

    Natamani kuwe na ligi moja ya soka Tanzania

    Wanataka wanaojihusisha na nini?
Back
Top Bottom