Sijui unataka kujua kiasi gani. Kama unataka kuwa mtaalam kiasi au kamili nakushauri uende kwenye baraza la muziki Tanzania pale utapata waalimu kufikia hatua unayotaka. Zamani kuna mahali walikuwa wanaita Music Consevatoire of Tanzania ilikuwa ghorofa ya juu ofisi za Boti zakwenda Zanzibar...
Kama ni tatizo la ki benki wafuate wahusika walione, walitatue na ni kwa faida ya wote hata kama pesa yako imeibiwa nenda wataangalia na kukurudishia, ukishindwa unaweza hata kuwasiliana na mkurugenzi mkuu atalitatua mwenyewe, jamaa ni mchapa kazi haswa. HUku kwenye JF hakuna msaada mzuri kama...
Mbwana Matumla akamatwa na madawa ya kulevya nchini Hispania.
Kwa haraka kabisa naona dawa nyingi ziko nchini ukizingatia ndiyo ulikuwa uchochoro wa kuzivushia nchi nyingine, wahusika wako kwenye harakati ya kuzitoa maana wamesha zinunua kwa bei mbaya hivyo watatafuta kila namna mtu atoke nazo...
Tutabaki kuongea mengi maana ni jambo baya, labda sasa tuangalie upande mwingine ni kuwa Watanzania wengi ni wakatili wanafanya vitu vya ajabu kwa watoto na hata watu wazima. Nionavyo mimi kuna mapungufu kwenye elimu tunayopewa mashuleni. Tunafundishwa mahesabu, jiografia na mengineyo lakini...
Tutabaki kuongea mengi maana ni jambo baya, labda sasa tuangalie upande mwingine ni kuwa Watanzania wengi ni wakatili wanafanya vitu vya ajabu kwa watoto na hata watu wazima. Nionavyo mimi kuna mapungufu kwenye elimu tunayopewa mashuleni. Tunafundishwa mahesabu, jiografia na mengineyo lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.