Mkuu si mbabe wa maneno tu, anawashughulikia, wanafutwa kazi, wanakamatwa. Sasa hivi katika utawala wa trump unaweeza kuwa una green card ikawa cancelled kwa post yako tu. Watu wamepoteza uhalali wa kuishi Marekani kwa post zao za kuonyesha wako upande mwingine.
Kila suala huanza taratibu na...
Shida ni double standards, kuna kiongozi wa demo aliuawa na wao akina trump walikuwa wanashangilia tu na yeye trump anajifanya hamjui.
Na hao watu wengi ambao wanadai walishangilia, ukweli ni kwamba walikuwa wanashangilia kwa kupost yale mabaya aliyoyasema. Yani walikuwa wanaweka clip za...
Siasa za Marekani zimegeuka na kuwa kama za Afrika ndani ya muda mfupi. Bw. Trump kila ambaye anapingana naye basi anakuwa mbaya na waliomzunguka sharti kumsifia tu kama machawa. Siasa zimekuwa ni kuwatuhumu Demos ambao wengi wanakuwa referred kama the lefts na kila baya anawatuhumu wao
Zamani...
Wakuu kesho nafunga akaunti yangu ya CRDB aisee hii benki ima wizi wa kiwango cha standard gauge.
Wiki iliyopita kuna mtu alinitumia USD 206 kwenye akaunti iliongia 406000 nikaona rate ndogo lakini nikahisi labda kuna makato sikufuatilia.
Leo nometumiwa $2850 wallah nimepokea msg kwenye akauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.