Recent content by Deep Sky

  1. D

    Mahubiri ya kwanza ya Askofu Kilaini tangu sakata la Escrow(VIDEO)

    Unapokosoa, kosoa kwa ufasaha!! Umerudia makosa yaleyale. Hata wewe pia umetumia lugha ya mikopo!! Ungetumia na wewe lugha moja kunikosoa. Pia, ulipaswa kutilia maanani hoja niliyoitoa, lakini kwakuwa huna hoja za msingi, ndiomaana umeishia kutapatapa na kulamba matapishi!!
  2. D

    Mahubiri ya kwanza ya Askofu Kilaini tangu sakata la Escrow(VIDEO)

    Pesa alipewa Kilaini, in individual basis (refer report ya tume) how come are you involving kanisa katoliki?!
  3. D

    At your own risk

    Very True. Hakuna kama mama
  4. D

    Hawavumi Lakini wamo

    Kwahiyo unatetea ushoga?! This is crazy!!
  5. D

    Matusi, ubaguzi wa AG Werema kwa Wazanzibar, kiburi cha Spika Makinda, wabunge watoka nje

    "Narrow mind, discuss People. Great mind discuss the Idea" A person (Mnyaa) raised the question which Ideally was about Human Rights which are well known and recognized in the entire world. Unfortunatelly, Werema attacked and discussed about the person (Mnyaa) by being a Zanzibarian, INSTEAD...
  6. D

    AG WEREMA aomba MSAMAHA KWA KAULI YA KIBAGUZI KWA WAZANZIBAR

    Kwa kauli hiyo ya AG, IMEDHIBITISHA kuwa CCM NDIO WANAOIGAWA NCHI. KAULI KAMA HIZO NDIO ZITAKAZOVUNJA MUUNGANO. PROVED SCIENTIFICALLY!!
  7. D

    Matusi, ubaguzi wa AG Werema kwa Wazanzibar, kiburi cha Spika Makinda, wabunge watoka nje

    Kauli kama hii tena kutoka kwa kiongozi mwenye wadhifa mkubwa kama huu ktk muhimili wa 3 wa serikali haileti taswira chanya ktk muungano huu. Hakupaswa kutoa kauli kali na yenye maudhi kama hiyo, hasa ukizingatia kuwa bado taifa lipo katika wingu zitu kuhusu muundo wa serikali za muungano...
  8. D

    Loan board wasababisha hali ya hatari Jordan university

    And that's how we build "Competence, passion, dilligence & solidarity" to our our workforce!! Poleni sana.
  9. D

    Usipende sana!

    Unaweza vipi kupima kiwango cha upendo?! Unapimia nini?! By which standards?! Is there any SI UNIT?!
  10. D

    Wauguzi wanawake hawajatulia!

    Lini ulicheck afya yako kwa mara ya mwisho?! Mhaka
  11. D

    Mahari kwa wanyakyusa

    Commodification of Sex.
  12. D

    Wauguzi wanawake hawajatulia!

    Psychiatric!! You need medical attention.
  13. D

    Mtazamo: wadada oleweni na wanaume wanaowapenda

    Hizo asilimia 100 au 50 huwa unazipimaje?! Unatumia nini kifaa gani kupima that number?! How can you measure feelings?!
Back
Top Bottom