Nature ya mwanamke ni mapambo mwanamke ameumbwa kutambulika kwa thamani,urembo,kuvutia ndo maana wakaumbiwa sauti laini laini ya mayai
Nature ya mwanaume ni kuwa ngangariii yaani kuonesha uwezo,sura ngumu ,misuli misuli ,mtu wa kazi sema kuna wanaume ckuizi wanatamani kuwa warembo
Mwanaume...
Wanawake wako smart sana hasa ukute mwanamke anaejitambua
Wanawake wanajua sana kutembea na muda
Katika tafiti zangu mwanamke huwa na wanaume wawili au hata watatu anataka kuolewa na wote anawapima na atakaechukua jimbo
mambo haya huyafanya kwa usiri wa hali ya juu
Sasa anaweza akakupenda ila...
kuna demu nilimpata nikajenga mtazamo wa kijnga na kipumbavu ety kumfurahisha mwanamke
"Mwanamke hafurahishwi"
Tafiti zinaonesha kila zawadi utakayompa mwanamke kwake ina score 1 mark hata kama ungemnunulia ndege
Tumia akili sana,focus kwenye mambo yako muhimu pasipo kuyumbishwa na hisia...
Sasa kwa mfano demu anapenda vitu vipya alaf wewe unashindwa kumhudumia vizuri lazima wahuni wamtombe tu,
Au unapiga kimoja chali unamuacha na hamu kibao lazima wahuni wamkunee
au lijanaume lenye asira za ajabu ajabu au humdumii yeye ndo anajitaftia anakulisha nawewe
#Wanawake wanaumia sana...
Point yako ni ipi sasa ?
Ulitaka ukae kwa ndugu ili iweje?
Kama dar hupaelewi si urudi tu kijijini?
Mwenye jukumu la kubadili hali uliyonayo ni wewe mwenyewe
Grow and change for a better future of you
Usilalamike ety ndugu hawakupi chakula mara cjui dar ngumu mara ooooh dar wahuni sana
sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.