Point , uko sahihi, lkn haohao Wanye miaka 30_50 huko sio Kwamba hajawahi kuwa na strong relationship, kuna vitu vinatokea ktk maisha watu wanatengana.
Then wapo wanaume wengi tu wako above 30 lkn wanategemea wanawake ndio maana tunaweka hiyo point ili aliye serious ndo asogee