Recent content by dedytz

  1. D

    Wife material anahitajika

  2. D

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Kuna moja hv Victoria secret love spell ni ina ming'ao ming'ao hv napata?
  3. D

    Feedback ya kumtafuta mchumba

    Nimecheka yaani hilo jibu ulivyojibu jmn, lkn kahata yuko sahihi , inawezekana ana ndugu yake, au hata yy lkn bado sijawa official ni dada ake tu[emoji2]
  4. D

    Feedback ya kumtafuta mchumba

    Bado boss.
  5. D

    Feedback ya kumtafuta mchumba

    Amen
  6. D

    Feedback ya kumtafuta mchumba

    Sio wote, lkn pia kwa nn munamshangaa mwanamke anayeomba pesa, wakati mwanaume yy ni rahisi kuomba ngono. Jf ni km mji wako watu na tabia zao. Ni process kweli kupata mtu sahihi lkn MUNGU akitaka unapata
  7. D

    Feedback ya kumtafuta mchumba

    Sitaki kuonewa huruma, nahitaji upendo
  8. D

    Natafuta mchumba

    Pray more to God ndo point kubwa nimebeba , hayo mengine ni vipaumbele vyangu nisiwe mnafiki, hivi ktk vigezo me nina vigezo hapo[emoji1][emoji1],sijataja kazi ya mtu pia siwezi date na mtu ana miaka 20 am sorry .I need serious relationship sio kucheza
  9. D

    Natafuta mchumba

    Point , uko sahihi, lkn haohao Wanye miaka 30_50 huko sio Kwamba hajawahi kuwa na strong relationship, kuna vitu vinatokea ktk maisha watu wanatengana. Then wapo wanaume wengi tu wako above 30 lkn wanategemea wanawake ndio maana tunaweka hiyo point ili aliye serious ndo asogee
  10. D

    Natafuta mchumba

    Hpn Jf it is very difficult to achieve goals for a serious person.
  11. D

    Natafuta mchumba

    Sio mashart boss kila mmoja anapenda anavyopenda.
  12. D

    Natafuta Mchumba/Mke

    utakosa mke hivi ujue ,ujaribu kuja ww inbox baba.
  13. D

    Natafuta Mchumba/Mke

    hahaaaaa nimetoka kanisani kufanya usafi wa kanisa na kesho nawahi misa ya saa Moja kamili karibu
Back
Top Bottom