Recent content by Dedox

  1. D

    GESTAPO yatunyemelea! Je tumerudi nyuma miaka 80?

    ==siyo ''kilicho ojiwa'' ni hojiwa, == siyo ''kua aungi mkono'' ni kuwa haungi mkono==
  2. D

    Serikali yaivunja Bodi ya TCU, yawasimamisha kazi vigogo

    Kiswahili sahihi ni: aangalie huko nyuma siyo "haangalie uko nyuma"
  3. D

    Serikali yaivunja Bodi ya TCU, yawasimamisha kazi vigogo

    Hapa kuna jambo ni lazima litazamwe. Chuo kiliidhinishiwa na chombo halali kuendesha kozi husika, wazazi/walezi tumepeleka watoto wetu baada ya kuona kozi imepitishwa na chombo husika(TCU), TUMELIPA ADA kwa miaka zaidi ya, miwili na hawa watoto wamepoteza muda wote huo wa miaka miwili na zaidi...
  4. D

    Rais Magufuli, timua huyu mkurugenzi wa TASAF

    jaman kabla ya kuchangia hebu tudadisi basi wanachofanya na nchi nyingine. Cash transfer haijaanzia tanzania, nchi za Latin America na Asia Conditional Cash Transfer ni mpango umesaidia kujenga human capital! Mbona siku kupata taarifa ni rahisi hebu google tu conditional cash transfer upate...
  5. D

    Wakuu wa Wilaya; Rais Magufuli usiwasahau vijana wafuatao

    Polepole hata utendaji wa kijiji hafai.
  6. D

    Hii ndio CARTEL ya Prof. Ndulu wa BOT...

    Sidhani kama mtu wa namna ya prof. Ndulu kujenga nyumba ni justification ya kumfanya awe fisadi nadhani mtoa mada angetwambia pia kipato cha prof. ktk sehemu zote ambazo aliajiriwa vinginevyo mada imejaa majungu tu.
  7. D

    Mfumo wa GPA wafutwa na Waziri Ndalichako

    Mkuu naomba na mimi nichangie japo kidogo kuhusu mjadala huu. Mimi binafsi sidhani kama kipaumbele cha kwanza cha dr/prof./ mh. waziri katika kutatua kuboresha elimu yetu ni kuondoa mfumo wa GPA kwenda kwenye division ama kinyume chake. Aidha sioni hekima katika kuendesha masuala ya umma kwa...
  8. D

    Vyuo Vikuu visivyo na sifa kufutwa!

    shida ya viongozi wetu ni wazuri kuongelea mapungufu hususani yaliyofanywa na watangulizi wao badala ya kutafuta suluhu ya hayo mapungufu. Kwamfano prof. Ndalichako angetumia muda mwingi kutafuta majibu ya changamoto zilizopo kwenye sekta ya elimu kuliko kutumia muda mwingi kulaumu. Nadhani huyu...
  9. D

    Majungu ya Kigwangalla kwa Dr. Mwaka sio jambo zuri

    Huwa napata shida kuona mtanzania anaidharau China kwa Sayansi ama Teknolojia, kwakweli huwa nashindwa kuelewa!
Back
Top Bottom