-et kitanda hakizai haramu.
-et mtoto akikuwa anaweza kuwa great person.
-mara mtoto wa kubambikizia anaweza kusaidia famila.
-et baba yako mzazi anaweza kuwa sio baba yako ila amevunga
-sijui mtoto wa kubambikiziwa anaweza epuka laana na mikosi kama hivyo vitu vikiachiliwa kwenye ukoo
hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.