Recent content by DEALER

  1. D

    TV Series Reviews

    Homeland mbona kama iliisha?
  2. D

    TV Series Reviews

    Game of thrones ni bonge moja la series....never seen before
  3. D

    Starlet glanza - Mwanza

    weka picha mkuu
  4. D

    Ushauri kwa kipindi cha Clouds TV kiitwacho Clouds 360

    Kipindi cha kijinga sana,jamaa wako sharo sana full kuropoka vitu vingine hawavijui kabisa Hao jamaa hawana weledi hata kidogo,na kile kidada kiropokaji.
  5. D

    Nauza nokia xl new condition niko mwanza

    Nauza nokia xl iko in excellent condition with all its accessories screen size of 5'inches with 3g network, dual sim, cpu of 1ghz ,and ram of 768mb camera of 5mp & 2mp respectively iko compatible na whatsapp simu iko poa sana price ni 310,000/= contact:0752076810
  6. D

    Kampuni ya Tigo kama kazi imewashinda ni bora mkaiuza

    Kaka mbona nimejitahidi sana kuelezea kilichotokea jana na huu mtandao feki wa tigo walitukatia huduma ya mawasiliano ya intaneti kuanzia saa 7 mpaka saa 5 usiku pasipo kutoka taarifa yeyote,matokeo yake watu wakakorokochoa simu zao wakijua ni tatizo la simu.
  7. D

    Kampuni ya Tigo kama kazi imewashinda ni bora mkaiuza

    Basi kumbe hili tatizo ni global,watu tunapoteza mamilioni kwa ajili ya ubabaishaji wa hawa wahuni
  8. D

    Kampuni ya Tigo kama kazi imewashinda ni bora mkaiuza

    Afu nashangaa sijui kwanini hawatoi hata taarifa kwamba kutakuwa na tatizo hilo,wenyewe wanakaa kimya,huu ni upuuzi na haupaswi kufumbiwa macho
  9. D

    Kampuni ya Tigo kama kazi imewashinda ni bora mkaiuza

    Ha ha ha ahsante mkuu,hiyo ratiba nimeipenda ila natafuta sehemu ambapo naweza kula sato wa kufa mtu,nipe direction
  10. D

    Kampuni ya Tigo kama kazi imewashinda ni bora mkaiuza

    Niko Mwanza mtandao wa internet umekata zaidi ya saa moja sasa sipati network bila taarifa yeyote,hawajui ni jinsi gani inatu affect watumiaji ,TCRA wamekaa kimya, cost ziko juu huduma mbovu. Tafadhari jirekebisheni acheni ubabaishaji Tigo
  11. D

    Nokia xl inatafutwa

    Ninayo nokia xl
  12. D

    Dudu yangu jamani, Doctors, please, help me...

    kibonde kila siku anaongea oooh
  13. D

    Wanaume na minywele

    Mi hata nisiponyoa sioni shida,maana mashine inaingia bila tatizo lolote na ma ngina anafurahia akiguswa na msitu
  14. D

    Toyota sequoia platinum 2014

    Hizo gari kali sana especially kama zingekuwa Right Hand Drive??
  15. D

    Tahadhari abiria wa mabasi ya Happy Nation

    Pole sana kiongozi,kampuni nyingine za wahuni ni princess muro,luck star, bestline na super najimunisa kwa route ya dar-mwanza usilogwe kukata ticket hapo,asubuhi utalia machozi ukifika ubungo. Kwa sasa the best company ni new force wako very smart n bus zao mwendo mdundo
Back
Top Bottom