Recent content by deal done

  1. deal done

    Uzi wa ma-lastborn tu

    Mkuu, mimi nilikuwa nawagomea wakiona mama katoka nakula vibano hatari😷
  2. deal done

    Uzi wa ma-lastborn tu

    Kinachoniuma zaidi ni kuitwa dogo na hao walonitangulia,, huwa natamani niwapige mapanga haki😷😷😷
  3. deal done

    Wazazi na walezi jitahidini kuwadhibiti watoto wenu. Hii imeniuma sana

    ,,kumbe mkuu ulikuwepo kwenye kigodoro hichi,, Siwezi tena kuhudhuria kigodoro cha mtaa huu asee🏃🏃🏃
  4. deal done

    Nimeamini mtalaka hatongozwi

    wataandamana
  5. deal done

    Nimeamini mtalaka hatongozwi

    BLUE BALAA, hatua nzuri sana
  6. deal done

    Nilichokiona kwa x wangu hakika nimeshikwa na huruma

    kilichowatenganisha mwanzo ndicho kitawatenganisha tena,, hakuna haja ya kumuonea huruma maan yeye ndiye aliamua muwe marafiki wa kawaida... "I can beg once,,but when I turn my back ,I'm gone"
  7. deal done

    Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

    Ukiwa na shobo na watu wengne utakufa mapema sana,,ni vyema ukawa robot kiaina...
Back
Top Bottom