**Makala: Matumizi Sahihi ya Mitandao ya
Utangulizi
Katika dunia ya leo, mitandao ya kijamii na vyombo vya mawasiliano vinachukua nafasi muhimu sana katika kuendesha mabadiliko ya kijamii, kiuchumi, na kisiasa. Tanzania, kama sehemu ya jamii ya kimataifa, ina nafasi kubwa ya kutumia vyema...
How to Eliminate Corruption During General Elections in Tanzania for Better Governance in the Next Five Years
In the vibrant nation of Tanzania, the drumbeat of democracy has long been intertwined with the lingering specter of corruption. As the nation looks ahead to the next five to ten years...
Matumizi Sahihi ya Ukuaji wa Teknolojia Duniani: Njia ya Kuinua Uchumi wa Mtanzania kwa Miaka 5 hadi 10 Ijayo
Katika ulimwengu wa leo unaobadilika kwa kasi kutokana na maendeleo ya teknolojia, Tanzania ipo katika nafasi ya kipekee ya kutumia ukuaji huu kuboresha uchumi wake. Hapa chini ni...
Habarini wakuu na poleni kwa majukumu.
Naomba kwa walio na uzoefu wa kuanzisha NGO,s kama hizi non-profit organization masuala ya wanawake, watoto, vijana na vikundi ili kuleta impact kwa jamii upande wa uchumi na kuleta fursa ya kazi
Haha ni jamaa Aliendaga kitambo huko anafanya mishe mishe zake tu za maisha fresh...sasa last month akasema nataka nikutumie zawadi nkamwambia now niko busy fanya mwezi juni sasa ndio kanambia inshu ya kutuma ni ghari nikamwambia wait niulize ntakucheki...maybe kuna best way yakutuma na kupokea...
mkuu123 endapo fedha zingine sio za ki dollar nspo hutoa huduma pia kana safari ya kimarekani,yaani Chinese currency, UAE Na hata za ndani ya bara la Afrika kwacha ya Zambia, na medicals ya Mozambique watachukua kutokana na uzoefu wako
Habari wana jamii forums.
Nipo na rafiki yangu yupo USA,mji wa califonia anahitaji kunitumis zawadi huku nchini Tanzania, anadai gharama za tozo ni kubwa nchini kwao kuja afrika as parcel ,msaada nifanyeje ili ni mshauri inifikie zawadi yangu ni digital portable computer na simu kwa wenye...
Nilikuwa na account yangu ya Facebook nimeiunganisha na page yangu, kuna kupindi nikapoteza device niliyokuwa natumia hivyo nikasahau password yangu na hata namba niliyofungulia kwa usajiti wa account hiyo imeshapotea.
Nipo hapa jukwaani ili kuomba msada wa kurecover acc yangu kwa wabobezi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.