Upo sahihi kabisa biashara nzuri ni ile inayotokana na hobbie yako na kile unachokipenda kwa 100% hapo utaifanya kwa moyo na upendo na itadumu na itasonga mbele halikadhalika itakuletea mafanikio hata ikiwa kwa kuchelewa kidogo
Sure umeongea maneno ya msingi sana na yenye kugusa sana hakika tupaswa kuishi kwa upendo kwa kusaidiana kuna watu wamekataa tamaa bs tuwe faraja kwao japo nao wajione binadamu.
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Ni kweli unachokisema but huwez chukulia ndivyo ilivyo kwann wengine wanasoma na wanapata ajira japo kweli shida ipo.
Kwa sasa kiukweli mfumo wa ajira umekuwa wa kiubinafs sana kwa kweli bila kuwa na kujuana flan bs n mtihan kupata kazi hiyo inajulikana.
Wacha sie tuendeleze uzi wetu wa...
KUMBUKA SIO KILA ANAETANGULIA ANAFIKA MAPEMA BHALI NI KUWA MWAKILISHI WA KUIANZA SAFARI MAPEMA HIVYO USIDHARAU WALICHELEWA KUPATA RIDHKI.
Tuendelee kusaidiana.
TUPEANE MICHONGO
TUPEANE MICHONGO
TUPEANE MICHONGO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.