we jamaa naomba hucje kuniquote vbaya ...am telling u this seriously... am not really sure kama ww ni msomi badala yake umekuja kupotosha ....siku nyingne ukitaka kusema kitu try to think twice mkuu husije kujiona zwazwa kwa maneno yako...pole sana
wakuu naomba ufafanuzi juu ya ufaulu unaotakiwa mwaka huu kwa walioomba degree ya sheria UDSM na mzumbe ya Moro na mbeya ...maana kila mtu anasema yake uku eti lazima wenye division one mwisho ya point 7 ili kupata chuo na hiyo facult.. ni kweli?
Samahani wakuu,
Kwa walioomba degree ya sheria UDSM na mzumbe ya Moro na Mbeya ufaulu wao unatakiwa uweje? Maana kila mtu anasema yake huku baadhi wanasema lazima division one mwisho ya point 7.
Kuna ukweli wowote?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.