We
Wewe unanilisha maneno ,hayo mambo ya mapango na bikira sijui umeyatoa wapi .
Jikite ktk hoja je, dunia imetokea TU bubaa au Kuna designer nyuma yake.
Hoja gani hizo?
Ndio tunazijadili hapa maana hoja zenyewe ni marudio TU na kama refutation imeshafanyika ktk debate mbalimbali,juu ya hoja zake imeshafanyika so tuendelee na mazungumzo Ili kujua zaidi.
Mafanikio ni kitu kipana ,mfano Jide unaweza ona amefanikiwa kipesa lakini kiuzazi yeye ni kapuku. So inaweza kuwa kielimu, mahusiano n.k
Sema tuangalia mwisho wa wanamuziki huwa vipi.
Nadhani hao ndo wajinga maana jinsi Dunia iliyokuwa designed alafu hakuna aliye design basi hiyo haiwekani ,yaani vitu vimejitokeza TU vyenyewe.
Kama hapo ulipo yaan iPhone ijitokee yenyewe TU bubaa.inawezekana kweli?
Kama unataka kujua chanzo Cha Mungu basi napenda niweka hoja ya
Infinity Regression Fallacy.
Maana Kwa uelewa ni 'muendelezo usio koma au kuwa na Mwisho '
Ikiwa kiumbe kina muumbaji basi na huyo muumbaji atakuwa na muumbaji ambae alimuumba na yeye aliumbwa na muumbaji ambae pia ana muumbaji...
Kila mtu yuko free kusema maana ya Mungu kivyake ila kama una hoja ya juu ya attributes za Mungu ktk Islam basi TU discuss kuhusu utatu au mizimu Sina nachokijua
Katika Islam Mungu ana attributes zake kama
Self sufficient,
Hana mwanzo Wala mwisho, Independent,
Wise,
Knowledgeable,
Hafanani na chochote,
Hakuzaa wala hakuzaliwa.
Sasa ukisema He came from something basi hiyo ni kinyume na attribute zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.