Naomba kunisaidia kama kuna ntu anajua jinsi ya kusolve tatizo la internet kwenye simu mana natumia laini ya Tigo data inagoma kupanda, ila nkitumia wifi za watu inakubali
Mimi ni wakala mpya wa Airtel Money, nilikuwa naomba msaada wa kuelekezwa jinsi ya kutoa hela kwa njia ya meseji, pale mteja anapokuja na kuomba kutoa pesa akiwa amepewa pin ya siri ili atoe pesa kwa wakala wa Airtel Money.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.