"Bajeti hii (mapendekezo ya bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2024/25 iliyowasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba hivi karibuni) ina maana gani kwa Mtanzania wa kawaida?, je kuanzia mwezi Julai 2024 hali ya maisha ya Watanzania itakuwaje?, serikali imependekeza...
Viongozi wa serikali kwanza wanatakiwa wawe chachu katika kukemea na kupinga matukio ya kulawiti watoto na pia wasiwe Ndo wanaotenda makosa ya kulawiti na usagaji na Vile vile Sheria ngumu sana itungwe ili iwe jambo la kuogopeka sana
"Tuwalinde watoto wetu"
for Men
Grate 5 bitter kolas, 5 slices of garlic, a piece of ginger. Put everything in a container to be filled with 1 liter of water to keep cool. Thank me later
🚨🚨
"Wananchi wa Kigamboni wanataka Katibu wao wa Kamati ya Wananchi Paul Mwikambe aachiliwe‼️
Inasemekana anashikiliwa na JWTZ kikosi cha baharini (Navy)
Ishu ya ardhi ni hatari tupu!"
mhe: Maria T Sarungi
Kuwa mbungeni ni kitetea biashara zao ki msingi na kuendeleza kupandisha Bei za mafuta, Bei ya sukari, Bei ya nauli.
Lini umewahi kusikia matajiri wapi matajiri wa mabasi makubwa bungeni wanasemea kushusha Bei ya nauli
Lini umesikia Bei ya ruzuku ya mbolea inashuka 💫
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.