Recent content by Davis1984

  1. Davis1984

    Msimu 2023/24: Bajeti Yanga Bil 20, Bajeti Simba Bil 13.

    Kama kuna mtu wa uchumi kwa hawa ndugu zetu yanga hebu ajitathmini vizuri mana hata kama ni biashara sidhani kwa huu uwiano kati ya MAPATO NA MATUMIZI ..Au kama wenyewe wamechukua chao huenda tunaweza kuelewa maana NYUMA YA PAZIA HUWA KUNA MAMBO MENGI
  2. Davis1984

    Timu ya Azam inakwama wapi?

    Mimi naona bado wapo kwenye FOUNDATION yaani wanajenga misingi,misingi ambayo ipo siku wataanza kufanya vizuri..Msingi wa kwanza ni ku mantain kubaki kwenye ligi na kwa nafasi nzuri za juu kwenye msimamo na msingi wa pili kuwa mmoja kati ya timu zenye upinzani kwa simba na yanga ...haya ndio...
  3. Davis1984

    Kwanini Mo Anapata Hasara Simba, Yanga wanapata Faida?

    Dah...basi kumbe ni sawa na kupiga danadana upepo,Sasa timu kubwa kama hiyo hicho kiasi kilichobaki kitasaidia nini?Wazee wenye huu utopolo MMEPIGWA maana hapo Jamaa inaonekana alikuja bila MTAJI.
  4. Davis1984

    Kulazimisha vijana wawe wajasiriamali/ wajiajiri ni kuzidi kuwapoteza zaidi. Sio wote wanaweza

    Kujiajiri ni kazi ngumu sana.Nakuunga mkono kwa hoja yenye mashiko..Wawezeshwe wachache iji nao wawaajiri wengine.
  5. Davis1984

    Karipio la Rais Samia: Unaiba hela ya Umma ikusaidie nini? Utazikwa nayo? Utajibu nini Mbele ya Mungu?

    Wamegeuza Katiba...maandishi yameangalia chini.Wanapiga tu bila kuangalia
  6. Davis1984

    Somo la kwanza

    Siasa ni mtazamo tu,lakini inawezekana kuyapeleka mambo yako utakavyo.Jambo la kuzingatia tu ni kutokuvunja sheria za nchi. Ukifanya hivi utakua umejijengea kisiwa chako na kuishi huru.
  7. Davis1984

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    SUCSESS THROUGH POSSITIVE MENTAL ATTITUDE kilichoandikwa na NAPOLEON HILL NA W.CLEMENT
Back
Top Bottom