WATU NI MTAJI
Mtaji ni Fedha ambayo ni lazima uwe nayo katika mwanzo wa biashara yoyote ile. Mtaji ndio msingi mkuu wa biashara yoyote ile ili iweze kukua na kufikia malengo na matamanio ya mfanyabiashara. Natumaini ushawahi kusikia mtu/watu wakisema kuwa Sina Mtaji ndio maana sijafanya Biashara...
LUCK and CHOICES
Hakuna mtu ambaye hajawahi kusikia neno BAHATI(LUCK) ,.Ila Hakuna kitu Bahati Lakini Kila kitu ni Bahati. Wazungu wanasema Bahati ni Sawa na Fursa ukaongeza na maandalizi ya hiyoo Fursa
(Luck = Opportunity +Preparation).
Yaani ili uwe na Bahati basi ni lazima uwe na maandalizi...
WATU, SIASA NA MAENDELEO
Watu ni Wananchi, Wananchi ni watu wanaotambulika kisheria kitaifa katika serikali au jimbo la kawaida iwe kuomba au kuzaliwa. Kwa uelewa Wangu mdogo najua kuwa Raia na Mwananchi/Wananchi wote ni kitu kimoja. Kigezo kikuu cha sehemu iitwe nchi basi ni lazima kuwe na Raia...
WATU, SIASA NA MAENDELEO
Watu ni Wananchi, Wananchi ni watu wanaotambulika kisheria kitaifa katika serikali au jimbo la kawaida iwe kuomba au kuzaliwa. Kwa uelewa Wangu mdogo najua kuwa Raia na Mwananchi/Wananchi wote ni kitu kimoja. Kigezo kikuu cha sehemu iitwe nchi basi ni lazima kuwe na...
MAZOEA YANA TABU
Mazoea ni nini Mazoea ni kufanya /kuchukulia vitu au watu kikawaida kawaida. Nini maana ya neno kawaida, Kawaida ni kutotoa heshima inayostahiki juu ya kitu /jambo au watu Fulani ndio maana Utasikia watu wanasema mimi sipendi mazoea Ukiona mtu anasema hivo basi jua anaona...
WATU NI MTAJI
Mtaji ni Fedha ambayo ni lazima uwe nayo katika mwanzo wa biashara yoyote ile. Mtaji ndio msingi mkuu wa biashara yoyote ile ili iweze kukua na kufikia malengo na matamanio ya mfanyabiashara. Natumaini ushawahi kusikia mtu/watu wakisema kuwa Sina Mtaji ndio maana sijafanya...
WIVU NA TAMAA NI ADUI MKUBWA KATIKA MAISHA YA MWANADAMU
Tamaa ni nini Tamaa ni Hali ya uhitaji Uliopitiliza Juu ya Jambo Fulani au ni Hali ya uhitaji wa Ghafla juu ya jambo Fulani bila kuangalia kwa undani juu ya jambo Hilo. Wahenga wakaja wakasema "Tamaa ni Mbaya" wakaenda mbali zaidi wakasema...
LUCK and CHOICES
Hakuna mtu ambaye hajawahi kusikia neno BAHATI(LUCK). Ila Hakuna kitu Bahati Lakini Kila kitu ni Bahati. Wazungu wanasema Bahati ni Sawa na Fursa ukaongeza na maandalizi ya hiyoo Fursa
(Luck = Opportunity +Preparation).
Yaani ili uwe na Bahati basi ni lazima uwe na maandalizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.