Recent content by davidgerald

  1. D

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Asante sana mungu akubarik
  2. D

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Dr naomba ufafanuzi juu ya hili, inawezekana MTU akawa mjamzito halafu akawa anaziona siku zake kama kawaida?
  3. D

    KOMBORA za Mwisho Kuanza Kurushwa Oktoba 01

    Kombe lazima liende kwa maguful halina ubishii hilooo
  4. D

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Vodacom juz wametuma mesej juz kwamba unaweza lupata 4GB kwa sh elfu 10 tu , kwa hiyo niulize je hizo GB za internet za mwezi au za mda ganii .naomben msaada wenuuu
  5. D

    KOMBORA za Mwisho Kuanza Kurushwa Oktoba 01

    Ndiyo kabisa lazima ijulikane kombe linaenda wapiii
  6. D

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Samahani doctor mm mwanangu anakuwa anapata joto sana nimejaribu kutumia dawa hzi hapa amoxillin dry suspension na ya minyoo alatrol syrup lakn bado anajoto
  7. D

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Shukrani doctor mungu akubariki Maan nilianza kuwa na wasiwasi
  8. D

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Samahani Sana doctor naomba msaada wako kuhusu hili Mke wangu baada ya kujifungua aliweka vijiti vya uzazi wq mpango yeye aliwekewa mkononi sasa baada ya hapo akawa anableed utakuta wiki nzima halafu anapumzika siku 2 au tatu anaanza tena hali hii iliendelea kwa muda kidogo lakini kwa sasa hivi...
  9. D

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Doctor mm ninampenzi wangu ila tatizo tunapokuwa tunafanya mapenzi Mara nyingi anakuwa analalamika kwamba anaumia sana. Hii hali inasababishwa na nini? Tafadhar naomba unisaidie
  10. D

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Asante sana doctor mungu akubariki
  11. D

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Sasa doctor kunasiku ulisema kwamba wanawake wajisafishe uken kwa kutumia sabuni zenye low pH hzo sabuni zinaitwaje? Na wakijisafishia sabun za kawaida madhara yake ni yapi? Naomba ufafanuzi
  12. D

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Samahan doctor mm tumbo langu Mara kwa Mara linajaa sana gesi na choo kupata inakuwa kwa nadra sana naomba ushauri wako
  13. D

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Kuna ndugu yangu anasumbuliwa na choo anaweza asipate choo wiki . tatizo ni nin? Au afanyeje
  14. D

    Gwajima: Siwezi kuwasahau Dr. Slaa, Lowassa

    Huyu ndiye mchungaj tunayemtaka kwanza anamsimamo halafu haogop. Mungu azidi. Kumpa nguvu
  15. D

    Ajira za walimu 2014/2015 ni majanga

    Hahahahaha. Walimu hawahitajik labda wa sayansi
Back
Top Bottom