kwa yeyote aliye na uitaji wa ramani ya nyumba au kupata ushauri wa ujenzi. tuwasiliane kwa no 0659497070 au 0767232509.kwa ushauli zaid afike oficn kwetu maeneo ya tabata segerea .
kwa yeyote aliye na uitaji wa ramani ya nyumba au kupata ushauri wa ujenzi. tuwasiliane kwa no 0659497070 au 0767232509 ofic zinapatikana tabata kwaa ushauli zaidi.
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, tunasanifu na kuchora ramani za nyumba kwa bei poa.
Na pia tunasimamia na kutoa ushauri wa ujenzi.
Kwa mawasiliano zaidi ofisi zinapatikana Tabata Segerea.
Kwa mawasiliano ya simu. 0659497070 or 0767232509
wadau mi nimtumiaji mpya wa dstv baada ya kuona vingamuzi vingne ni mizigo kwangu. Nije kwenye tatizo baaada ya jana kulipia tena nimeshangaaa kila napowasha sioni channel yoyote na inaniambia your connection has lost toka jana nashindwa kuelewa tatizo ni nin. Msaada wadau
Wadau naitaji msaada wenu nilikuwa nimeweka cmu yangu mfukoni na nikiwa bize na mishemishe ya hapa na pale ghafla nakuja kuitoa kujaribu kupiga picha. Naona camera haipo clear vision nachokiona ni mchanganyiko wa rangi tu na wala focus object haionekani kabisa bali nachokiona ni mirangirangi 2...
Jeee una elimu yoyote kuhusu uhandisi wa ujenzi hasa highway,pili haiwezekan hata cku 1 kikamwagwa kifusi kibovu barabaran ambacho hakijapimwa,ktk barabara ya lami. Tatu je barabara iyo ni kiwango cha rami au changarawr
mwisho naomba kuwasilisha mada
Baba chief upo vizuri nakufananisha na kijana wangu kipind nikiea technical institute 1 dsm alinisaidia sana. Bt chief kuna hiii ishu ya window phone zinashindwa kufungua menu za m pesa na tigo pesa tatizo ninin? Samahani kwa kuingilia topic
Weeee hao jamaaa wasanii hakuna lolote mi nimeappeal toka mwaka jana hakuna majibu mpaka leo. Offcourse ni usanii mtupu na ukiwauliza mara ha2jatangaza rasmi, mara wengne wanasema 2shatoa majina tayari ambayo hayapo officially hata kwenye website yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.