Mhhh tukisema serikali ya CCM imechoka na imefilisika kimawazo hata uwezo wa kutumia wasomi ambao imewasomesha kwa mabilion ya fedha imeshindwa.izo barabara wewe ndo umejua leo kwamba ziko chini ya kiwango.kwa Mfano watu wamepiga kelele sana juu ya barabara ya st Marys Tabata plus kimanga mwisho...
Ni bora hata ITV kuonyesha iyo hali kwa siri kidogo je kwani Hujui kuhusiana na tbc kuonyesha upendeleo wa wazi si ungesema before
Kijana jitambue na baki ukawa njia kuu
Hapo ushindi ni lazima tena asubuhi na mapema sana.babu rudi ukawa tumemisi siasa zako hakika naamini mwaka huu ni wa mabadiliko makubwa aka mwaka wa matumaini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.