Recent content by David Peter Sembosi

  1. David Peter Sembosi

    INAUZWA ADSENSE ZINAUZWA PAMOJA NA SITE ZAKE (NON-HOSTED)

    Kwa anaye hitaji adsense accounts ambazo ni non-hosted anicheki kwa namba zangu 0756888069 | 0718268014 , Kila account pamoja na site yake ni 100,000/= . Kwa uaminifu nimefanya hii biashara na baadhi ya watu humu JF wananielewa vizuri. ACCOUNT ZOTE NI MPYA. Napatikana Geita kwa wale waliopo...
  2. David Peter Sembosi

    ADSENSE Inauzwa

    Bado iko sokoni, nicheki
  3. David Peter Sembosi

    ADSENSE Inauzwa

    NAUZA ADSENSE NON-HOSTED MPYA KABISAAA, BEI NI KILO MOJA (100,000/=), NICHEKI KWA NAMBA ZANGU 0756888069 AU 0718268014 Na site yake pia ipo. Icheki BONYEZA HAPA KUONA SITE
  4. David Peter Sembosi

    Adsense Account inauzwa (non-hosted)

    Nauza account ya Adsense ambayo ni non-hosted kwa bei poa sana. Nicheki kwa namba 0756888069 au 0718268014. Bei ni 80,000/= ukitaka na website nakuachia kwa maelewano ili ujiamini zaidi. Site yake hii hapa Elimika Elearning
  5. David Peter Sembosi

    "Je,ulikuwa unalijua hili?"

    "Nikianzisha nao ligi,nahisi watajiuzulu JF!"
  6. David Peter Sembosi

    "Je,ulikuwa unalijua hili?"

    "But hata kama wako kwenye msafara mmnja kila kundi lina functions zake.Kwani ushajiuliza kwanini KENGE haishi ndani ya maji?.Thus y.
  7. David Peter Sembosi

    "Je,ulikuwa unalijua hili?"

    :Laugh but pained guy.
  8. David Peter Sembosi

    "Je,ulikuwa unalijua hili?"

    "Asilimia kubwa ya Members humu "JF"elimu waliyoipata haijawasaidia!!?.Mtu unaomba ushauri but unachoambulia ni Matusi na Vidonge/Makavu kavu,Sasa jamani mi nikikuuliza swali kama hunajibu sibora ukafunga bakuli lako tu,kwani utapungukiwa na kitu gani?
  9. David Peter Sembosi

    "Ukweli ni upi?"

    "Hivi ni yupi mwenye mapenzi ya kweli kati ya hawa wawili,(Anayeomba pesa au asiyeomba pesa) kwa mpenzi wake?"
  10. David Peter Sembosi

    "Dah!,mi sijui itakuwaje!!"

    Kwa uchunguzi nilioufanya,nimegundua kwamba ofisi nyingi za serikali mfano,Ofisi za kata,Wilaya n.k zimepakwa rangi ya bendera ya Chama Cha Mapinduzi.Sasa napenda kuuliza swali ya kwamba,Ina maanda mwaka 2015 chama kingine kikiingia madarakani nacho kitajenga ofisi zenye rangi za bendera yao?
  11. David Peter Sembosi

    Hivi hawa wana akili nzuri kweli??!

    ,Hivi umeielewa topic vizuri?.Ithink you are out of topic.
  12. David Peter Sembosi

    Hivi hawa wana akili nzuri kweli??!

    "Tatizo ni kwamba,wanatudanganya.Wanasababisha naacha kutumia Tigo pesa kwani naogopa wataniibia.
  13. David Peter Sembosi

    Hivi hawa wana akili nzuri kweli??!

    Quote from"TIGO","Samahani ndugu mteja,namba yako haijasajiliwa,tafadhali tembelea ofisi zetu zilizo karibu nawe kabla ya July15 ili kuepuka kufungiwa laini yako.".Sasa mbona nilishasajili tangia mwaka juzi kwenye ofisi hizo izo,so siwaelewi wanamaana gani.
  14. David Peter Sembosi

    "Je,hii inawezekana?"

    ,"Ok,kwanza kabla ya yote lazima kupendana kwanza,next ni kuingia kwenye mahushano ambayo ndiyo yanayopelekea uchumba kutokea;Then baada ya kujuana tabia kwa muda ndipo mnatambulishana kwa wazazi pamoja na maandalizi kwa ajili ya kuingia kwenye ndoa.Mimi najua ivyo tu ndugu yangu,cjui ww.
  15. David Peter Sembosi

    "Je,hii inawezekana?"

    "Ahsante sana Dr.Kwa ushauri wako mzuri."
Back
Top Bottom