Recent content by david magessa

  1. D

    Msaada wa dawa yakuumwa kichwa mda mrefu.

    Kinauma mda wote ila jioni huwa kinazidi sana Sent using Jamii Forums mobile app
  2. D

    Msaada wa dawa yakuumwa kichwa mda mrefu.

    Matumizi yake inakuaje Sent using Jamii Forums mobile app
  3. D

    Msaada wa dawa yakuumwa kichwa mda mrefu.

    Yani mm mda wote kinauma tena kinagonga vibaya Sana sana mi kinauma upande mmoja nusu kichwa kuanzia kweny paji LA uso kuja nyuma ya kichwa upande wakulia hadi kwenye ubongo wa nyuma Sent using Jamii Forums mobile app
  4. D

    Msaada wa dawa yakuumwa kichwa mda mrefu.

    Niko banana gongo LA mboto Sent using Jamii Forums mobile app
  5. D

    Msaada wa dawa yakuumwa kichwa mda mrefu.

    Aaaahh mkuu macho tena . Sent using Jamii Forums mobile app
  6. D

    Msaada wa dawa yakuumwa kichwa mda mrefu.

    Niko home mkuu banana Sent using Jamii Forums mobile app
  7. D

    Msaada wa dawa yakuumwa kichwa mda mrefu.

    Habari zenu wanajamii wenzangu Nilikuwa naomba masaada wa dawa ya kuumwa kichwa kwa mda mrefu kwa maana Niko nasumbriwa na tatizo hilo kwa mda wa mwez mmoja na cjui nn tatizo dawa nimetumia sana Mwenye msaada naomba mnisaidie Sent using Jamii Forums mobile app
  8. D

    Marafiki laki 5 tu wakiamua kumchangia Mh Lissu elfu 2 tu kwa mwezi atakuwa amepata Tsh 1 billion

    Hahahah kweli mkuu mtyu yupo USA ankul tour ya nguvu mi nipo TZ napambana na hali afu nichangie Sent using Jamii Forums mobile app
  9. D

    Marafiki laki 5 tu wakiamua kumchangia Mh Lissu elfu 2 tu kwa mwezi atakuwa amepata Tsh 1 billion

    Na kwanni tumchangie vityu vingine ni kujiendekeza Sent using Jamii Forums mobile app
  10. D

    Mzee Maarifa

    Lete habariiiii Sent using Jamii Forums mobile app
  11. D

    KURUDIA KIDATO CHA TANO

    Mi nimeuliza kama naweza pata shule nyngne hayo meswali hayawez nisaidia kityu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. D

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Ameuliza kwenda private wwe mbn sio muelewa wewe Sent using Jamii Forums mobile app
  13. D

    KURUDIA KIDATO CHA TANO

    Habari wadau wa elimu mi naitwa David. Nilibahatika kwenda kidato cha tano comb pcb mwaka jana(2018/2019) kwa ufaulu wa division 2 kidato cha 4. Kwa bahati mbya nilifukuzwa shule mwak jana mwshoni nilikuwa nauliza naweza pata tena shule ya serikal kwend kusoma na kuanza tena kidto cha tano na...
Back
Top Bottom