Sayansi pia imejaa roho mbaya nakusababishiana matatizo!! Ww fikilia kikundi cha watu kina amua kukaa maabara nakuamua kutengeneza magonjwa!! Alf baada ya muda wana kaa tena wanatengeneza tiba yake ili wapate
Maokoto [emoji1787] sayansi na uchawi nisawa na mohamed kumuita mudi..[emoji3578]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.