Recent content by davibby

  1. davibby

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Hii stori ningekuwa na studio ningetengeneza movie Tena series Kali maana tayar stori nzuri ipo ya kuanzidhishia
  2. davibby

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Humu ni redmi tu ama na wa mi13 ultra tunacomment humu humu
  3. davibby

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Kwa carren japo hujapiga mzigo mpaka leo
  4. davibby

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Hapo mwisho kwa mzee dingi ndo umetisha na hiyo quote.....
  5. davibby

    Raia wa Kenya ni masikini kuliko Watanzania

    Ww hujafika kenya ukajionea ama ukawa na wakenya. Wakenya weng matanir na pia masikini wapo. Kwa mfano angalia ata barabaran wakenya wengi wananunua magar ya kisasa ambayo hela yake kwa kwetu ni nyingi sana ila ukija tanzania wengi wetu tuko kwenye gar za chini ya 20M wakati kenya bila kuwa na...
  6. davibby

    5G technology: Vodacom Vs Tigo; Tupeane mrejesho nani katisha sana kwenye 'Superspeed' kati ya mitandao hii

    Wanayo kweli 5g na kwasisi tunaolipia net ya unlimited bandle unapata mpaka 4.1MB/S kwenye 30mbps
  7. davibby

    Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu

    Lete mwendelezo mkuu
  8. davibby

    Kisa cha Kweli: Mimi na Baba tutamsamehe vipi Mama? Nami nitawezaje msamehe Mzazi wangu?

    Kwenye maisha naamin kika mtu anahistoria yake na anamagumu anapitia tofaut nanmtu mwinginr unaweza ukajiona umepitia magumu ama unapigia magumu kuliko watu wote duniani ila ukisikia yamwenzako unajiona unaafadhali. Sometime unaweza ukawa na pesa na zisikusaidie kutatuw tatizo lako.
  9. davibby

    Kisa cha Kweli: Mimi na Baba tutamsamehe vipi Mama? Nami nitawezaje msamehe Mzazi wangu?

    Mkuu endelea kutupa stori ya kisa na mm nijifunze kitu
  10. davibby

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Sasa madububuasha yote hayo wakat kt ingrtosha kukupa mzik mzur tu
  11. davibby

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Mkuu chakufanya ishu sio kuwa verified. Ishu utafute DAC ya HiFi alaf tafuda earphone zenye uwezo wa maana kama kz qkz etc unakula bonge la mzik kwenye simu laptop etc
  12. davibby

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Ni kwel bluetooth huwa quality ya sound inapungua kidogo sio sawa kutumia flash ama optical ama line in
  13. davibby

    Najuta kumpa ndugu yangu PS (playstation), kawa kama Teja

    Naona natangazia ku pre order tu hapa kwenye series x
Back
Top Bottom