Forums
Trending
New Posts
Log in
Register
Style variation
System
Light
Dark
Trending
Search
Search
Search titles only
Note
By:
Latest activity
Register
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Style variation
System
Light
Dark
Contact us
Close Menu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Daudi Mchambuzi
Recent content by Daudi Mchambuzi
PreGE2025
Absolom Kibanda: Sekretariat ya CHADEMA inahusika na Wabunge 19 wa viti maalum CHADEMA
Nimesoma hadi hapo kwenye jina la Benson Kigaila nikaishia hapo, nikaamua kuendelea na shuhuli zingine. Adios.
Daudi Mchambuzi
Post #44
Dec 28, 2024
Forum:
Jukwaa la Siasa
Kwanini watumishi hawana hamu na tarehe 1/5/2023 sikukuu ya wafanyakazi? Ni majeraha ya nyongeza ya 23% mshahara?
Enzi za utawala wa Dikteta Bashite aliwaambia wakijitokeza na mabango ya kudai haki atawatandika bakora hadharani.
Daudi Mchambuzi
Post #16
Apr 26, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
TANZIA
Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa
Aisee ume-deep sana wewe imebidi nikagoogle maana yake 😂 ni wazi una za ndani sana, wamemdhuru au wamemfanyaje?
Daudi Mchambuzi
Post #41
Apr 26, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Nimeambiwa Simba SC wakitumia Low Block na Counter Attack Wydad Casablanca FC anatupeleka Semi Finals CAFCL
umeona jamaa atakula umeme 😂
Daudi Mchambuzi
Post #46
Apr 26, 2023
Forum:
Jamii Sports
Nimeambiwa Simba SC wakitumia Low Block na Counter Attack Wydad Casablanca FC anatupeleka Semi Finals CAFCL
Mkuu safari hii mnatumia fundi wa wapi mbona kimya-kimya?
Daudi Mchambuzi
Post #45
Apr 26, 2023
Forum:
Jamii Sports
Dr. Slaa: Watu wengi hawajui kwamba Siasa na Utumishi wa Umma ni vitu viwili tofauti, ndio sababu nilikubali Uteuzi wa Ubalozi!
Hapana Dr Slaa, kwa hili utatusamehe tu kwa kweli 😂😂😂
Daudi Mchambuzi
Post #20
Apr 26, 2023
Forum:
Jukwaa la Siasa
TANZIA
Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa
Sawa ila mambo haya mwisho wake sio mzuri. Silaha ya mnyonge tena wa kijijini huko huwa ni kifo au ukilema.
Daudi Mchambuzi
Post #30
Apr 26, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
TANZIA
Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa
Ni yule anaitwa Kemi??
Daudi Mchambuzi
Post #11
Apr 26, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Huu upumbavu upo Afrika tu, unaambiwa na Mchungaji ufunge hadi ufe na wewe unakubali
Haha sawa m-Ukraine wa Kariobange.
Daudi Mchambuzi
Post #72
Apr 25, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Rais Samia: Nilipoingia ofisini tu Mufti alinijia na furushi la migogoro ya mali za BAKWATA, ila tatizo wamelitengeneza wenyewe
Mufti kuna aibu ndogo-ndogo angeweza kuzikwepa
Daudi Mchambuzi
Post #27
Apr 24, 2023
Forum:
Jukwaa la Siasa
Arusha kumejaa wazungu volunteer, whay not Mikoa mingine?
Ikiletwa hapa ile video ya takwimu ya Team ya Mwakyembe utafuta hii comment kwa aibu 😂
Daudi Mchambuzi
Post #8
Apr 24, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Arusha kumejaa wazungu volunteer, whay not Mikoa mingine?
hii nchi ni ngumu aisee
Daudi Mchambuzi
Post #4
Apr 24, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Huenda ombi la kununuliwa Darubini ni kuudhalilisha Uislam
Haipendezi mtu kama FaizaFoxy kupanda juu ya mpapai usiku-usiku eti kuusaka mwezi ili tu kesho yake asifunge tena.
Daudi Mchambuzi
Post #114
Apr 24, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Huenda ombi la kununuliwa Darubini ni kuudhalilisha Uislam
Hebu focus mkuu, Kipaumbele kikuu kwasasa ni darubini kali full stop.
Daudi Mchambuzi
Post #112
Apr 24, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Huu upumbavu upo Afrika tu, unaambiwa na Mchungaji ufunge hadi ufe na wewe unakubali
MK254 a.k.a kijana Pasta Mackenzie umefunga kwa siku ngapi mpaka sasa?
Daudi Mchambuzi
Post #46
Apr 24, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Daudi Mchambuzi
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Menu
Forums
New posts
Log in
Register