Recent content by daudi chanila

  1. D

    Serikali wachunguzeni na matapeli wanaojiita manabii

    Kila mtu ana uhuru wa kupeleka pesa yake anakotaka- ruksa. Mwingine kanisani, mwingine msikitini, mwingine kwa sangoma, mwingine mpirani atakwenda hadi Algeria kushangilia timu, mwingine anahonga, mwingine ananywea pombe, nk. Si vizuri kuangalia kuwa ni kanisani tu ndipo watu wanatumia pesa...
  2. D

    Uholanzi kufunga Magereza 19 kwa ukosefu wa wafungwa

    Magereza Kama hoteli ya kitalii.........!!!!!!!Kuna cha kujifunza hapo. Pamoja na sera nzuri za uchumi zinazoweza saidia kutowaingiza watu kwenye utendaji wa makosa ya jinai, kuna njia mbadala nyingi zilizoainishwa kwenye andiko na siyo kukimbilia kuwapeleka magerezani ambako hali si nzuri...
  3. D

    Mwanza mkoa wa mwisho. hapana

    Wakati wa kusomwa bajeti ya mwaka huu, kulisemwa kuwa mkoa wa Mwanza ni wa mwisho kiuchumi. Mimi siyo mchumi wala mtakwimu, lakini siamini kilichowakilishwa. Hebu angalia vigezo vya hoja yangu. i. Mkoa wa Mwanza ni ''hub'' ya uchumi wa kanda ya ziwa. ii. Ni mji wa pili wa ukubwa Tanzania- na...
  4. D

    Idadi ya mikoa irejeshwe kama zamani

    Nadhani issue si mikoa tu, inatakiwa iende zaidi ya hapo- ukubwa wa serikali. Wakati tukifikiri kupunguza wizara, mikoa, wilaya, tarafa na kata na agencies kama bodi ya korosho, maziwa, pareto, tukaongezewa idadi ya makatibu wakuu. Nasikia wizara zingine sasa zinao wanne!!! Mbona watu wawili...
  5. D

    Idadi ya mikoa irejeshwe kama zamani

    Nadhani issue si mikoa tu, inatakiwa iende zaidi ya hapo- ukubwa wa serikali. Wakati tukifikiri kupunguza wizara, mikoa, wilaya, tarafa na kata na agencies kama bodi ya korosho, maziwa, pareto, tukaongezewa idadi ya makatibu wakuu. Nasikia wizara zingine sasa zinao wanne!!! Mbona watu wawili...
  6. D

    Idadi ya mikoa irejeshwe kama zamani

    Naunga mkono hoja. Mikoa ni mingi sana, idadi ya wilaya ni kubwa mno, na baraza la mawaziri ni kubwa sana. Gharama za uendeshaji ni balaa hasa katika ununuzi na kuhudumia mashangingi, makazi na mishahara. Uongezaji na uendelezwaji wa vitu hivi ni kwa ajili ya kulipa fadhira za maswahiba na...
  7. D

    Siasa za Kugawa Mikoa na Wilaya Tanzania!

    Nafasi za ukuu wa mikoa na wilaya ni za kisiasa na nikumwongezea gharama mlipa kodi. Ni gharama kubwa mno kuendesha hii mikoa na wilaya zinazobuniwa. Hizi hela zingeimarisha miundombinu. Hata hivyo kama zitatakiwa kuwepo kutokana na traditions basi kuwe na mikoa (majimbo) 9 na wilaya 4 kila...
Back
Top Bottom