Sheria ya Mtoto No. 21 ya 2019 kuhusu malezi ya mtoto inasema inasema ''until he is gainfully employed'' tafsiri yake inaweza kuwa ni hadi pale atakapokuwa ameajiriwa/ameweza kujiajiri.
Mnakumbuka hadithi ya mwanambuzi na simba? Wasiioijua wataisikia siku nyingine. Ila kwa hili naona kuwa kati ya hawa wawili (serikali na Askofu Kakobe) mmojawapo ameshika makali na mwingine mpini. Hapo haki imeshatokea dirishani.
Mimi ni mpenzi wa magic fm kipindi cha magazeti na uchambuzi. Kwa kweli mimi kama one of the great thinkers naona kituo hiki kina watu bora kabisa katika uchambuzi wa issues. hata sikushangaa niliposikia kuwa kibwana dachi alipewa kazi serikalini ( kumbe ulikuwa ni utani). Mimi naona tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.