changia hoja acha kashfa. Kwani jk ni mungu au malaika? Kwanza unamjua vizuri ndimara au umetoka chooni bila kunawa umeingia jf. Ndimara ni kichwa kuliko unavyodhani au umelewa pijau la pasaka ?m.....o !
Naitaka nchi yangu tanganyika. No discussion. Tatizo lukuvi na genge lake la intarehamwe wanafikiri kuwa wao kuwa viongozi wanashikilia hata akili zetu na kwamba ambaye hayuko nao ni mjinga- no! Kila m2 anahaki ya kusimamia anachokiamini. Hebu tupige kura ya maoni.hatutaki watu watatu watuamulie...
Usitupe masharti endelea na bunge na genge lenu la intarehamwe! Tunawasubiri kura ya maoni. Mmepeleka lukuvi kanisani kutafuta kuungwa mkono! Mpelekeni na wasira msikitini. Wananchi tunataka maendeleo hata hiyo katiba mlioichakachua hatuitaki.bakini nayo dodoma. Umeamua kukimbilia jf kwani hapa...
Naafiki uamuzi huu kuimarisha kwa 100% nafarijika na kutamani kambi ya upinzani kuunganisha nguvu uchaguzi mkuu mwakani na serikali za mitaa mwaka huu. Hakuna kulala mpaka kieleweke! Big up. Tunataka uwazi weledi na uwazi
Na nyie mnaojiita wasomi mkiwa vyuoni chadema mkihongwa kidogo mnajiondoa akili na kuhamia gambani kama mmesoma mnabaibaka nn? Mwenzenu pale udsm wiki mbili alidanganywa na kuahidiwa kushikana mkono na brother k. Akawa chizi na kuhamia gambani. Acheni ujinga wa kudanganyishiwa pipi. Komaeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.