Recent content by Darth Veda

  1. D

    JamiiForums Tanzania Sina hamu ya kuendelea kuishi na mke niliyezaa naye watoto watatu

    ukimwacha mke wako pasipo na sababu ya uzinzi nawe utakuwa uanzini. Na huyo utakaye muoa mpya pia utakuja mkinai kwani ni kawaida mwanamume kukinai mke haswa baada ya kukaa nae muda. mwisho ni kwamba unaweza pata mke mwingine shida mpaka ukatamani kumrudia huyo wa kwanza. Ndoa ni uvumilivu siyo...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi S/Mitaa: TBC mko wapi? Channel ten wanafanya kazi yenu sasa

    Chombo cha CCM
  3. D

    JamiiForums Tanzania Kipi bora kati ya Kujenga au kununua nyumba

    Mafundi wote wezi bora ununue kwani utakuwa umekubali matokeo
  4. D

    JamiiForums Tanzania Mke Wangu Ni Mchawi Hatari,Nisaidieni Ndugu Zangu.

    Mwagie damu ya Yesu
  5. D

    JamiiForums Tanzania Wezi wa Escrow

    Kwanini tunajadili kuwawajibisha hawa wezi wa Escrow wakati sheria ziko wazi. Hi inaonyesha kuwa hawa wezi ni wengi sana humu ndani!!!
Back
Top Bottom