Cjajua unaenda interview post gan, bt kama ni loan officer kipind naacha kazi mwaka jana june gros salary ilikua500,000 net ilikua 405,000. interview inakua ya kawaida tell us about urself, shika duties za post waliyokuita na kama ni loan officer lazma ujue njia njia za kupata customers kama...
Habari wadau? nimepigiwa cm leo saa nne na watu wa EFC kwa ajili interview kesho saa tatu lakini mimi nipo Iringa.Anaewajua vizuri hawa jamaa anijuze kama vipi nisafiri jioni ili kesho niwe dar
man we jembe watu wanadharau tu. hata mie kuna kaz nilikua nadhalau ya kusuka vikapu baada ya kutimuluwa kaz, bt saiz nasuka vikapu na ninasave kila wiki laki moja nusu bank. jaman tusichague kaz
kampun gan make maswal yanatofautiana baina ya kampun. mfano access unapewa hesabu za mafumbo ya kawaida ya kufikilia, wanaweza uliza elfu tano ina mnyama gan hyo ni kwa upande wa written. Bt oral ujue job discription na maswal mengine ni common
mwaka juzi walikua wanaanza na 190000 then inapanda mpaka 370000. bt mi nilikimbia baada ya wiki mbili target ya four client per month niliona ngumu, nikaingia FINCA. Ukiingia kaza butu sana make inaitaji kujituma na uwe na uwezo wa kuongea
Tuliandika barua kwa chief excutive director aje kwenye branch iliyopo iringa aje asikilize matatizo ambayo branch wameshindwa kuyatatua. cha ajabu wakatulitea kamata ya nidhamu wakidai tumevunja sheria kwa kuandika barua, pia tumegoma kufanya kaz. mwisho wa siku tukafukuzwa watu kumi na tatu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.