Weekend aje aje?
Je wewe ni msanifu majengo? mimi ni mtanzania wa kawaida (wa kima cha kati ) ambae ningependa kupata ushauri kuhusu ujenzi pamoja na ramani ya kibanda kama tukielewana.
Kama wewe ni wa fani hiyo kutoka chuo cha Ardhi ninaomba tuwasiliane kwa inbox.
Ahsante.
Dahh doctor Ole amekufa? Yule baba ilikuwa ukienda kwake unaumwa hata kuongea ni ishu ni siku mbili tu ushapona ila gharama ndio shughuli pevu.
Duhh Madoctor wengine hata sina imani nao pale. Aliyejenga jina pale ni Ole pekee
Masikini ...duhh poleni bandugu. Isije ikawa no tatizo hili hili lilimuondoa...eehh Mungu tusaidie manake wengine tunasubiri kikombe ambacho kukipita ni kifo tosha
Na chupa kupasuka Ina maana ni kitendo cha kutoa maji mengi??
Dalili za kuharisha ninazo, mgongo kuuma na kuacha pia, kichwa pia kwa mbali sasa sijui ndio wenyewe
Wakuu heshima kwenu
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninawaomba wenye uzoefu wa mambo ya uzazi wanisaidie tips kuhusu dalili za uchungu wa kujifungua.
Wanadai kila Mwanamke Ana dalili zake ila nadhani kutakuwa na vitu flani vya kufanana.
Naomba msaada wadau wangu.
@lucky sabasaba jaribu kuwaelewesha hawa.... unaweza jiridhikia na CIF yako ya hukooo ulikonunulia ila yai likitua bandari ya dsm ukaona mahesabu yanavyonyanyuliwa. TRA ni majangili a.k.a wezi asee
Hiki ni kiini macho, ukiitegemea hii calculation utaabika mtu mzima kwani TRA wanaangalia market price na sio CIF ya ulikonunulia. Nina hadi vielelezo ukitaka nakuonesha.
Nilishangaa hata mimi. HADI GARI YAKO IWE BARABARAI JITAHIDI UJIANDAE KWA HELA NYINGINE KAMA ILE ULIYOAGIZIA KULE (hiyo unayoandaa ni kodi, agency fee, sijui malipo gani kule farion (hapa itategemea unatolea geti gani, kama utachelewa kuprocess TIN number jua kuna storage charges na mengine kama...
Gari ya 2008, bei yake ilikuwa M. 18 kodi M.13 jumlisha na mengine yote mpaka kuwa barabarani ilifika kama M. 38 hivi. Jamaa hawaangalii bei ya japan. Jamaa wana system yao ambayo wanakwambia hawaangalii CIF , ni kama wanakomoa vile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.