Aliwahi kuondoka KABOUROU,SHAIBU AKWILOMBE,KAFULILA,LUSINDE na mchumia tumbo Zitto,Mwigamba,Kitila na Cdm ikabaki Imara.
Hao walikuwa wanachama wa kawaida sana.
Namiliki Fuso na Isuzu, nahitaji tenda ya kusambaza udongo, kokoto, mawe, mchanga na moram katika sait ama eneo lolote hapa Arusha
Bila longo longo na kwa muda mfupi tunarekebisha eneo lako la ujenzi kwa kutuagiza material tajwa hapo juu.
Pia tunakuletea matofali kwa bei rahisi popote pale...
Wanajamvi
Akizungumza hapo jana katika siku ya wafanyakazi duniani mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa Mulongo amesema kuwa mlipuko wa bomu ktk baa ya Night Park Mianzini sio ugaidi bali ni njama za kikundi cha watu wenye malengo maalum ktk jiji la Arusha.
Hii kauli niliitafsiri kuwa analenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.