Recent content by Dar Express

  1. D

    Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa Kigoma na uongozi wake wote watimkia ACT

    Aliwahi kuondoka KABOUROU,SHAIBU AKWILOMBE,KAFULILA,LUSINDE na mchumia tumbo Zitto,Mwigamba,Kitila na Cdm ikabaki Imara. Hao walikuwa wanachama wa kawaida sana.
  2. D

    Yusuf Makamba: Mokiwa muombee January aote nywele

    January mpaka sasa ana Legacy gani mpaka awaze urais? NENO URAIS LIMESHAKUWA MTORI.
  3. D

    Nahitaji tenda ya kupeleka vitu vifuatavyo, eneo lolote Arusha

    Namiliki Fuso na Isuzu, nahitaji tenda ya kusambaza udongo, kokoto, mawe, mchanga na moram katika sait ama eneo lolote hapa Arusha Bila longo longo na kwa muda mfupi tunarekebisha eneo lako la ujenzi kwa kutuagiza material tajwa hapo juu. Pia tunakuletea matofali kwa bei rahisi popote pale...
  4. D

    Pata Viwanja Moshono hapa,hakuna Udalali.

    Tunauza Viwanja kwa bei nafuu ktk kata ya moshono. Mita 25 kwa 15 tupe milioni 10 Nyingine nyingi. Nipigie 0764 291222
  5. D

    Kama ni zamu ya Zanzibar basi ni balozi Seif Idd

    Ccm wote ni wachovu
  6. D

    Kwanini mikutano ya CCM mingi inakosa vijana

    Ccm ni mbwa zee kibogoyo.
  7. D

    UKAWA kuwasha moto Jangwani, Dar es salaam - Jumatatu

    Sema kibatari kimewashwa kitafune kodi zetu.
  8. D

    Joshua nasari na visima meru

    Mbona nyie maisha bora yamekuwa kitendawili?
  9. D

    UKAWA wasababisha Dr Hamisi Kigwangala kukataliwa jimboni kwake

    Siku za Said Bagaile kula Nzige wa Nzega zinahesabiwa na Hussein Bashe!
  10. D

    Kauli za RC Mulongo ni Uchochezi Mtupu

    Wanajamvi Akizungumza hapo jana katika siku ya wafanyakazi duniani mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa Mulongo amesema kuwa mlipuko wa bomu ktk baa ya Night Park Mianzini sio ugaidi bali ni njama za kikundi cha watu wenye malengo maalum ktk jiji la Arusha. Hii kauli niliitafsiri kuwa analenga...
  11. D

    CHADEMA kanusheni yanayosemwa kwenye Video hii....

    Sinema za Mwigulu zimeanza.
  12. D

    CHADEMA kanusheni yanayosemwa kwenye Video hii....

    Simu za mchina hizi,fafanueni.
  13. D

    UKAWA haikutakiwa kuijumuisha CHADEMA

    Ukawa kwani imesajiliwa na kufanyiwa matangazo lini? Akili za kata hizi
Back
Top Bottom