Wewe sio Gwajima, Askofu, bali umetumia jina ( liwe ni lako au la kujipachika) kwa kusudi lako unalolijua. Haitafanikiwa ndio maana imeandikwa. " Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa. Na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu, utauhukumu kuwa mkosa"
Majeshi majeshi ....
Home
Expert Speak
Falling Apart – A story of the Tanzanian Bagamoyo Port Project
15 September 2020
PRACHI MITTAL
Tanzania’s Bagamoyo Port Project charted a new trajectory in China and Tanzania relations. Despite several negotiations and diplomatic discussions, the port project did receive a...
Ni mfumo mzima. Nape aliingia mtegoni. Alipojaribu kusimamia haki na sheria mafuriko yakamzoa. Watanzania tulikuwa tumeshikwa pabaya awamu ya tano. Unaimba mapambio ya kusifu huku unagumia kwa maumivu.
Hitaji la Katiba sio la wanasiasa tu. Ni la wananchi wote. Asieona hitaji hilo hajitambui. Huyo ni bora liende.
Kuanza mchakato upya ni takwa la kikatiba kwa mujibu wa sheria ya mabadiliko ya Katiba Wala sio suala la utashi wa mtu au kisingizio hekima au busara.
Usisahau kuwa pia wanaopandisha au kulipukwa na mapepo katika maisha ya kawaida katika jamii na mashuleni wengi ni wanawake na wasichana. Wanaume ni wachache.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.