Recent content by DANNYBAVICHA

  1. D

    Nitagombea Urais - Kisandu Deogratius

    Mwalimu Nyerere alikuwa mbunge wa morogoro mjini 1953 baadae akajiudhuru. Sio kweli kuwa hakuwahi kuwa mbunge. Kama umetudanganya hili tu basi hufai wala hutufai
  2. D

    John Heche na Ester Matiko kuvunja kanuni za uchaguzi Tarime.

    Hata wewe unavunja kanuni!!!!!!
  3. D

    Polisi Wavamia Masafara na Kupora Maiti ya Kiongozi wa CHADEMA Mbeya

    Huyu Msangi pia ndo moja ya askari ambao Mzee Mengi aliwataja kwa Majina akiwatuhumu kumwekea mwanae madawa ya kulevya airport...
  4. D

    Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Mkuu ulitaka picture niipigaje ili isionekane nimeipamba?? Nifundishe niko tayari kujifunza kupiga picture vizuri zaidi. By the way achana na michepuko barabarani baki njia kuu yasije kukutana ya kibonde
  5. D

    Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Unaweza kuwa sahii na usiwe sahii vile vile huyu kibonde ndo hupinga maandamano ya upinzani kwamba watii sheria. Kwanini na yeye asitii hiyo sheria
  6. D

    Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Kama unajua askari wote UKAWA mbona huwambii wenzio kuwa UKAWA NI UNSTOPPABLE!!!
  7. D

    Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Wana Jf, kumekuwa na malalamiko mengi humu jamnvini kuhusu kiburi cha watangazaji wa kituo cha radio cha Clouds FM kuwa juu ya sheria za nchi kwa kufanya mambo watakavyo. Leo mmoja wao ameonja joto la jiwe baada ya kujifanya mbabe na kumtukana askari wa usalama barabarani Leo asubuhi, picha...
  8. D

    Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

    Picha zikionyesha vijana wa ccm wakishushwa na UDA hapa mliman kwa ajili ya kumzomea na kuwashangilia Wasira
  9. D

    Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

    Kama ilivyolipotiwa hapo mwanzo kuwa chama cha mapinduzi ccm kina mpango kabambe wa kupeleka watu wa kukodi kwenda kumzomea mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni na mjumbe wa UKAWA kwenye mdahalo hapa NKURUMAH HALL. hizi ni picha zikionyesha mabasi ya UDA yakishusha vijana hapa chuo kikuuu...
  10. D

    UVCCM mmemtuma haya Makonda?

    Leo kwenye kipindi cha Agenda 2015 -Star TV msemaji wa UVCCM Paul makonda amewatukana matusi ya nguoni wabunge na viongozi wa CHADEMA na CUF,,BAVICHA tunatumia nafasi hii kumuonya vikali kijana huyu tunamtaka ajue kuwa hakuna mtanzania zaidi ya mwingine, mara nyingi amekuwa Akialikwa vyenye...
  11. D

    Aibu Kuu Uhamiaji: Uchakachuaji wa matokeo ya usaili wa nafasi za koplo na konstebo

    MTOI naskia na wewe uliomba hizo kazi kuna ukweli??
Back
Top Bottom