Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu...
Mm nina rafiki, ananipa pesa
Ananijali
Hadi vyombo vya ndani ananinunulia
Wala hajawahi kuomba uchi, mi mwenyewe tu sometimes napata wazo la kumpa
Anajitoa sana yani sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.