Recent content by Danielmwasi

  1. D

    Leo nimekumbuka hii stori nikasikitika sana

    Acha kusali ma kanisa ya ajabu ajabu . Kanisa ni Roman Catholic tu . Wengine wezi tu. Ukitoa wa sabato . Kkkt Unatoka hela ya Kumlisha Pastor na familia yake na michepuko yake . After sadaka no one cares. Tafuta kanisa la maana .
  2. D

    GE2025 Nchimbi kama kajichanganya vile , this goverment will collapse in 3 - 4 years

    Hata dubai tu awezi kwenda na Amani . What’s the point of having all the power
  3. D

    Ripoti ya IMF (2025): Tanzania Miongoni Mwa Nchi 10 za Afrika Zenye Deni Kubwa la IMF

    tupo in crisis mzee . Ccm Kama wamechanganyikiwa wasahau Tanzania ndo Nyumbani
  4. D

    GE2025 Nchimbi kama kajichanganya vile , this goverment will collapse in 3 - 4 years

    Issue hiyo ndo nimesema Kama kuna growing numbers of opposition . Ni swala mda mambo yako kuwa magumu kila upande . Politics ni ku balance haters and lovers . Wengi wakizidi lazima Ilete shida
  5. D

    GE2025 Nchimbi kama kajichanganya vile , this goverment will collapse in 3 - 4 years

    Mugabe na this government amna tofauti . Mugabe was not accepted internationally so will be the next president . Sasa watu wameforce hivyo hivyo . Ending yake we will be watching . Tatizo kubwa ni growing numbers of opposition . Kama kila mtu anakupinga na auna watetezi wa Maana . Amna kitu...
  6. D

    GE2025 Nchimbi kama kajichanganya vile , this goverment will collapse in 3 - 4 years

    I will be short Nchimbi kajichanganya sana . Ni kama yupo peke yake amezungukwa na watu wasio kuwa na mema ya chama , hili swala litamtia matatizoni sana nchombi . Maana lazima ataongea kitu positive tu . Watu awataki hivyo . Nchimbi ni mtu smart sana . Sema position yake aipo sawa ...
  7. D

    hizi jezi za Simba, mbele wapi? nyuma wapi? mbona hazieleweki.

    aviloa wewe unashindwa tu kuwa mkweli, kapombe mgongo wake upo mbele
  8. D

    hizi jezi za Simba, mbele wapi? nyuma wapi? mbona hazieleweki.

    I will be short hizi jezi , mbona kama makengeza, mbele wapi, nyuma wapi?? mcheki kapombe amkuwa kama kanyongwa , ajulikani kageuka mbele au nyumA.
  9. D

    KERO SGR watu wamechezea network Uwezi Lipia online

    nimetumia iphone na macbook zote zimegoma, na nimelipa sgr before bila shida simu gani nitumie nyingine?? ticket zimeisha naona mimi tu siwezi kulipa
  10. D

    KERO SGR watu wamechezea network Uwezi Lipia online

    akili za watu waliozaliwa na single mother hizi
  11. D

    KERO SGR watu wamechezea network Uwezi Lipia online

    hii ya sgr ina affect watu directly. sema system imeoza sana. kila kitu kibovu
  12. D

    KERO SGR watu wamechezea network Uwezi Lipia online

    uwezi nunua ticket za sgr online mzee, wewe nenda station utapata ticket
  13. D

    KERO SGR watu wamechezea network Uwezi Lipia online

    I will be short Iko Hivi ume login , then ukiselect seat . System aikupeleki next . This means kuna watu wamegeuza business wanauza ticket ukiwapigia . In short Uwezi lipia seat . Maana ufiki Kwenye control number . Mama Anaupiga mwingi sana . Useless county . Barabara Mbovu . System...
Back
Top Bottom