Kwani kuna kanuni inayosema uombwe mtoto baada ya muda gani!? kama ni wakubadili anabadilika tu hata ukimpa mtoto baada ya kukaa nae miaka miwili kibwa uwa ni maridhiano na mipango mliyonayo au malengo.
Safi sana kwa ilo mh waziri wa mambo ya ndani kumbe hawa jamaa wanaangaliaga sura watu wa kulala mahabusu na ambao si wakulala mahabusu,!?sababu chumba kimejaa kwa mtu wa kawaida wangebananishwa ivyo ivyo kazi nzuri waziri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.