Mmmh.... hoja zilipaswa kuwa, tumejenga barabara, tumepunguza umasikini, tumetengeneza ajira, tumejaza dawa mahosipitalini, tumekomesha rushwa na ufisadi, wanafunzi hawakai chini tena,,,,.....n.k. kinyume chake hoja zilikuwa, tutakomesha rushwa na ufisadi, tutatoa elimu bure hadi kidato cha nne...