Utakulaje kitu ambacho huna ham nacho alaf wanawake ni best coz siwezkua nachat na boy everyday kuwa na urafiki na mwanamke inawezekana sana tu kwa mwanaume anaejua nn anafanya
Naitwa dany from singida tanzania (25) naitaji rafiki wa jinsia yyt kunzia 18-25. Mtu awe serious na anaejitambua kwaajili yakupeana company (0746893854) whatsap
Daah pole sana kaka, hiyo inauma sana. Kwanza zingatia familia yako na huyo mwanamke kama unaweza ingekua ni me izo meseji ni ushaidi wawe kufanya maaumuzi sahh uyo hakufai apo ukiteleza kiuchumi na mama yake atamshauri akuache kwakua tyr ameshachuma pesa zako. #PIGA CHINI UYO MWANAMKE KAKA HAO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.