Mimi naona cha muhimu kuwafunza wazazi kuwalea watoto wao kwa maadili.. Maana these days maadili yamepolomoka unakuta mtoto anavaa sex cloth.. Yaani all things is about sex.. na wazazi wanaona tu na wametulia.. Hiyo kalenda bado haiwezi kusaidia kama wazazi wako ivo.. Hata ivyo iyo elimu...
Sioni sababu ya kuulaumu ulokole maana kila mtu ameumbwa na akili za kuchanganua.. Ukiona unaakili za kumtegemea mtu basi wewe huna akili kabisa..kuna msemo unasema akili za kuambiwa changanya na zako..by the way kuna bible naona kila kitu kimeelekezwa humo so mi naona ukifata vile bible...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.