Recent content by Daniel Wanga

  1. D

    Tujue sheria zetu

    Samahanini naomba kuuliza. ikitokea maeneo ya mgodi yamechafuliwa na uchafu wa kutoka mgodini kama vile vumbi au kemikali na hakuna madhara yaliyothibitika, je ni hatua zipi watu au serikali inaweza chukua kuzui uchafuzi huo?
  2. D

    Nape: Sina kinyongo na uamuzi wa Rais Magufuli; Akasirishwa na aliyemtishia Bastola

    Hizi pumba usilete humu. WEWE kama mtu mwenye busara ungekuwepo pale je usingeweza kuzuia jambo lisilo jema kutokea mbele yako. Kisheria kila mtu anawajibu wa kujali mtu mwingine pale ambapo jambo ambalo si jema linafanyika.
  3. D

    Rais Magufuli amkingia kifua Paul Makonda. Asema yeye ndie anapanga nani akae wapi!

    Ni mambo la mwingi kwa mwanadamu kulikua, kujikubali na kujikosoa pale panapoonekana kwa mambo ya nyakati ulikua sawa lakin kwa mabadiliko ya nyakati si sawa tena. Leo hii najikosoa ya kwamba sina imani na mh. Kufuatiwa na kitendo cha uvunjifu wa katiba kilichofanyika ijumaa. Na naungana na...
  4. D

    Gwajima: Kutakuwa na Ugeni wa mzee kutoka kijiji cha KOROMIJE

    Nashangaa sana kiona mchungaji anayegeuza nyumba ya bwana kuwa sehemu ya vijembe huu si ukristu walioachiwa mitume. Mwanzo niliwaza nikadanii pia uhenda aliongea vilke kwa kuwa yeye ni binadamu na kwa udhaifu wetu twaweza kufanya hivyo bahati mbaya na tena kwa kusingizia ya kuwa ni hasira. hii...
  5. D

    Gwajima: Kutakuwa na Ugeni wa mzee kutoka kijiji cha KOROMIJE

    Nashangaa sana kiona mchungaji anayegeuza nyumba ya bwana kuwa sehemu ya vijembe huu si ukristu walioachiwa mitume. Mwanzo niliwaza nikadanii pia uhenda aliongea vilke kwa kuwa yeye ni binadamu na kwa udhaifu wetu twaweza kufanya hivyo bahati mbaya na tena kwa kusingizia ya kuwa ni hasira. hii...
  6. D

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] injili ni biashara dah
  7. D

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Sidhan kama huyu askofu aliyejiiita askofu mkuu anaelewa thabibiti ukristu nini. JE KRISTU ALITUASA TUSHIKE NA KUIISHI AMRI GANI ? JE KRISTU ALIFUNDISHA NINI JUU YA KUISHI NA MAADUI? JE KRISTU ALIFUNDISHA NINI JUU YA MCHUNGAJI NA KONDOO? JE MCHUNGAJI KAMA MWANGA ANA MCHANGO GANI KWA WAAMIN...
  8. D

    Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

    Google hajaweka na ukiona mtu anaficha historia ya elimu yake ujue kuna jambo
  9. D

    Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

    Kuteleza vip akasema vyeti viko ofisini kwanini mchungaji anakuwa mswahilj hivyo
  10. D

    Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

    Ndio huyo wa kwanza aseme wazi maana wengine tumjua mtoto wa huku kwetu na kasoma pamba na hapo ndipo aliposoma makonda na alikua mwimba kwaya wa kanisa fulani
  11. D

    Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

    [emoji23][emoji23][emoji23] eti bashite.. TUNATAKA kujua uhalali wa vyeti cha GWAJIMA hata hicho cha PhD cha Omega University. Maana mtaka cha uvunguni sharti ainame ebu aoneshe mfano wa kuonesha vya kwake ndio tuzungumze ya RC
  12. D

    Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

    Ni kweli yeye sio mtumishi wa umma bali ni mchungaji ila bado ni public fegure. Na kama mchungaji hapaswi kujihusisha na siasa na hata kama akijihusisha apaswi kusubili injili kwa kutusi watu haipendez bwana Yesu alituagiza kupenda adui zetu na kuwaombea mema. MCHUNGAJI GWAJIMA kama mchungaji...
  13. D

    Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

    Nasikitika sana kuona mtu anasujudiwa kisa pesa na mail kama helicopter. Tukiendelea hivi kamwe taifa halitaondokana na ugonjwa wa akili (uvivu wa kufikilia na kufanya maamuzi). Mchungaji anapaswa kujikita kuhubiri na kuongoza kondoo wa bwana si kuubuli chuki na revenge. Ni Kristu yupi...
Back
Top Bottom