Sio amewapiga. Sema KATUPIGA…!!! Binafsi naamini wanaoshinda wote, ni hela za watu waliopigwa. Ni kama tunachangiana vile.
Wapigwaji ni wengi kuliko wanaoshinda. Naamini kbs kuna muda Muhindi HATOI HATA MIA MBOVU MFUKONI KWAKE…!!!
Sasa kama ana MADHAIFU YOTE HAYO, ni kwanini bado Simba wanaendelea kuwa nae?? Naona umeandika madhaifu mengi sana kuliko uimara, ila still Simba inaendelea kum-hold. Why??
Kama yote hayo ni ya kwako binafsi kma shabiki wa Simba NITAKUELEWA. Ila kma mpaka uongozi wa Simba yenyewe unajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.