Pole mkuu jaribu kushusha viwango yaan watongoze wanawake wenye level za chiiini sana uone nao wakikukataa njo mpanda nikupeleke kwa mtaalam utakuwa umelogwa wewe.
Mkuu waambie hao wasiojua kitu cha muhimu ktk maisha yao, wao wanajua pesa ndo kila kitu lakini waamini kuwa upendo, amani na furaha ndo kitu cha thamani ktk mahusiano na sio mzungu jaman mbona hamnielewi?
Mkuu acha moyo ufanye kazi yake jamani, mkuu ulitaka kumpoteza na kumuaharibia maisha huyo mdada rafiki yako. Fikra ni chakavu kwamba maisha mazuri ni rafiki yako kuolewa na mzungu. Tena mimi binafsi nimependa msimamo wake huyo binti tena mpe hongera zake mwambie akaze zaidi kwani mzungu kitu...
Moja ya mambo ambayo wapenz wengi huwa wanakosea ni kuwastanisha umri, Wastani wa umri huendana na michezo, fikra, utani nk. usitegemee wewe una miaka 23 umeolewa na mzee wa miaka 45 - 50 mkaka mkafiti. hamuendani ktk mambo furanifurani kama vile michezo yenu, mawazo yenu, fikra zenu, utani wenu...
Mkuu umechanganya pombe ya kienyeji na bia, kichwa cha habari kimenishtua sana maana nilitaka kujua kumjua mwanamke anayefika kilele anadalili zipi? duuh kuzama ndani nakutana na habari z mimba kilele hakipo tena. Mkuu specialize mada umetupeleka chaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.