Sidhan kama hiyo ni breaking news kwa gu maana nilijua toka mwanzo ndugai alivyobwaga manyanga, nilijua tu spika atakuwa yeye...ukiniuliza sabb sijui ila nilijua tu hivyooo
Daaah!! Kama ni hiyo stori tumepigwa kabisa maana mtu kamwita jna lake, hilo jina kalijuaje kwanza wakt hamfahamu? Atm million 2 inatokaje kwa mfano, jaman
Suala la kuacha kazi ni maamúzi binafsi ya mtu, hivyo kama unaona ni bora kujiajiri ni vyema ukafanya hivyo ila sio kuja humu kuanz kutoa mapungufu ya mwajiri wako na kuona waajiri hawafahi wakat kuna watu wanakula good time na waenjoy kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.