Ni kweli neno chosha linaweza kutumika lakini halikidhi maana inayotakiwa hapa. Kitu kikikuchosha maana yake mwanzo kilikuwa sawa na hakina shida ila baada ya muda kikakuchosha. Likini mfano mechi inaweza kuanza tu na ikawa haivutii hivyo ikawa "inaboa". Neno "bore" linahusisha kukinai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.