Hawana uzoefu na udereva wengi wao kichwani mambo mengi anaendesha muda mwingne mawazo yako kwenye simu,thn hawajaenda veta wengi wao alama za barabarani zinawachanganya pia kutokuzijua pia hawazisomi wengi uchukulia udereva ni simple kwa kusogeza kama wa Dar wanavyoendesha pale ni kusogeza tu...
Tatizo wanajiendesha wenyewe kwa maelezo yake yanaonyesha alikua anaendesha peke yake maana kasema anasikia maumivu mguu wa kulia,ajari walikua kwenye taa baada ya taa kuruhusu wakaondoka hakujua kama gari la mbele yake linakata thn likakata ghfla akaligonga hajasema dereva kagonga kasema...
Baba yako akikuita mjinga na ww kesho unamwita mwehu ?!!yule ni kiongozi na pia ni taasisi so kujielewa ni vizuri zaidi utaonekana ni tofauti na yeye akiita na wewe ukaiita mnakua ni kitu kimoja basi hakuna tofauti.
Angalau umemwelewesha mkuu nilitaka kumuuliza aliteuliwa lini kwamba ni mkuu wa wilaya ya Korogwe na Handeni moja hapo amekaimu tu na hawezi itwa ni mkuu wa wilaya wa ile wilaya anayokaimu watasema kaimu mkuu wa wilaya wabongo sisi bwana
Si busara kuhita mtu mzima na kiongozi wa taifa eti tahaira ndo maana wanataka utambulisho wa majina sababu ya mambo kama haya unatoa tu mawazo yako kwa lughaa nzuri inapendeza zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.