Habari zenu wakuu husika na kichwa cha habari hapo juu mimi ni kijana nisiye na ajira ila nimepanga kuanzisha biashara nahitaji mkopo wa 2 million ni taasisi gani riba zao ni nafuu msaada tafadhari au mtu anayeweza kunikopesha anipm kwa maelewano
Habari wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji vyumba viwili na sebule ila viwe na mtiririko wa kuungana kwa mfano chumba sebule chumba viwe vinapatikana mtwara mjini yoyote mwenye msaada aje pm
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.